Huyo mwanaume (Malaya anaamkosea bibi yake Ijieoma kwanini amebeba mimba tena labda mtoto itakua tena kijana. Mbona huyo hana heshima kwa bibi ?shame on him.
DAVIDO HE'S JUST A MAN LIKE ANY OTHER MAN, THERE'S NOTHING SPECIAL, ONLY MONEY AND FAME OTHERWISE HE'S NOT SPECIAL THAN OUR SON'S. WANAUME WANA FANANA TAJIRI NA MASKINI MWILI NI ULE ULE.
Ukute ni mbinu tu davido ametumia ili kuachana na chioma kirahisi. Ingekuwa mimi ni chioma nisingejali kikubwa Afya yangu watoto waje tu tena ningekuwa mimi chioma ningemwambia wazae waletwe kwangu niwalee mwenyewe
So, does it mean the time we thought he was moaning for loosing his son, kumbe he was busy F around. Leaving Chioma alone in Nigeria??am confused here ๐
Dah hii ishu ya davido ingekuwa ndo ishu ya diamond comment zingejaa hapa ๐คฃ๐คฃdah ila davido sijui anahaligani uko aliko ๐คna chioma je sipati picha๐ฅฒ
Mnamsakama Davido tu, Je Mwamba Mfalme Suleiman angekuwa anaishi katika kipindi hiki cha mitandao yakijamii mngemuitaje๐๐๐
Chioma cheza part yko ukiwa kwa mume wako umpende zaidi kwa hekima kwa utulivu chioma mpende mmeo
Maskin Chioma ๐ญ
Huyo mwanaume (Malaya anaamkosea bibi yake Ijieoma kwanini amebeba mimba tena labda mtoto itakua tena kijana. Mbona huyo hana heshima kwa bibi ?shame on him.
Inamaana Devidi hatumii zana? ๐๐
Sorry guys, the dude is a hot mess ๐ฉ ๐ซ
๐๐๐hawa ndio wanaume. Lkn na hao wadada viherehere wanajua fika Davido ana mke bado wanamvulia nguo watulie tulii
Wote hao madem wana taka ela
Hawa mademu njaa wana tafuta KIKI za kijinga njaa zita waua
Jamani wasani๐ข๐ข
DAVIDO HE'S JUST A MAN LIKE ANY OTHER MAN, THERE'S NOTHING SPECIAL, ONLY MONEY AND FAME OTHERWISE HE'S NOT SPECIAL THAN OUR SON'S. WANAUME WANA FANANA TAJIRI NA MASKINI MWILI NI ULE ULE.
Dahh basi awe anatumia Condom jamaniiii
Mwamba huyu hapa ๐ช๐ช๐ช
All the ladies in the house kindly rem to keep evidence while in a relationship the new trend
Ati na sauti yake ya kukoroma,,,nacheka kama mazuri
Noma sana but siombaya๐ ๐ ๐
Sasa mbona David mbona hajui kizingu tena
Hizo ni kiki davido kaona burna boy ampeleka mbio mzee wa kiki ka simba wa tandale
Mtihani wanaume jamani๐ข๐ข
๐๐โ๏ธ.
Kwani condoms zimeisha kiwandani jamani
Chioma masiki๐ข๐ข๐ข
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Jamn hiv sis wanawake tunamatatizo
๐๐๐dah umalaya hauna mwisho ๐๐๐hii ndo dawa ya wamalaya
Sisi wanaume ni wa wote..
Nyie hamsomagi Bรญblia Hua hamjui Jina Daudi ๐๐๐
Tanzania hakunaa hata mmojaa
Ukute ni mbinu tu davido ametumia ili kuachana na chioma kirahisi. Ingekuwa mimi ni chioma nisingejali kikubwa Afya yangu watoto waje tu tena ningekuwa mimi chioma ningemwambia wazae waletwe kwangu niwalee mwenyewe
wanaume karibu wote wana akili moja.
Na wanawake hivyohivyoooo akili moja kwani hawajui kuwa Davido ana mkewe Nigeria na wanalala nae tu.
๐๐๐hii imeenda
Gold diggers. Simple as that.
Wana ume ๐ฐ๐
https://youtu.be/6MuiPMx58nk
So, does it mean the time we thought he was moaning for loosing his son, kumbe he was busy F around. Leaving Chioma alone in Nigeria??am confused here ๐
Dah hii ishu ya davido ingekuwa ndo ishu ya diamond comment zingejaa hapa ๐คฃ๐คฃdah ila davido sijui anahaligani uko aliko ๐คna chioma je sipati picha๐ฅฒ
Tatizo anaudumiy vizur lazima tutumiy furusa
So Davido kumbe ni mtundu sana ivi eeeeh… Pole sana Chioma
Mmhh mambo mengi hata sielewi
Ndomwanaum ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐ง๐ฎ
๐๐๐๐
Mmhh wadada wanachuna hawa daa mitego mingi
Sasa imekua sifa au ndo agezwa nick cannon?usanii kazi na wanawake tuna wivu.mlivyokua mwatombana mbona haukutuma video au kuhusisha social media
Davido God will judge you poor chioma losing a baby and go through this ๐ก๐ก
Nna mengi kuhusu Hawa nipewe skio๐๐
Sasa hivi aanze kupima DNA huenda wengine wanabambikiza uwiiii chioma wee
Duuuuh haya ni maumivu na kwangu mweeeh nsmpenda sana chioma uwiiiiih
Toba ๐ข๐ข๐ข namuona huruma chioma haki walipo achana alijua kabadilika emungu kama nipepo gani iliotawala wasani ,